Pages

Wednesday, January 25, 2012

My Ronnie

Kama kuna kitu kinaniumiza ni when my son fell sick.Leo nikiwa nampeleka shule asubuhi sana nilimuona hayuko sawa, so i took him to the hospital.kwanza nilifurahi kuambiwa huwa hakuwa na malaria, nilijiona bonge ya mshindi coz sasa hivi ni zaidi ya mwaka na nusu na beat malaria bila mtu hata mmoja kwenye nyumba yangu kuugua malaria, so YEEEEEEEEYYYY!!!!!! To me.
:) :( ;) :D ;;-) :-/ :x :P :-* =(( :-O X( :7 B-) :-S #:-S 7:) :(( :)) :| /:) =)) O:-) :-B =; :-c :)] ~X( :-h :-t 8-7 I-) 8-| L-) :-a :-$ [-( :O) 8- 2:-P (:| =P~ #-o =D7 :-SS @-) :^o :-w 7:P 2):) X_X :!! \m/ :-q :-bd ^#(^ :ar!

No comments: