Pages

Wednesday, January 25, 2012

Dar Live

 Last week nikitokea kigamboni kupitia mbagala  nilipita Dar Live.nikiwa na vijana wangu tukaona si mbaya kwakuwa sikuwahi kufika zaidi ya kupasikia atleast nijue pana nini?
 Tulikuta wakiandaa hiyo temporary swimming pool kwaajili ya watoto







 pia i had fun kuangalia vituko vya huyu nyani.




The place is good. wakazi wa mbagala sasa safari za kwenda kustarehe mbali zitapungua.
:) :( ;) :D ;;-) :-/ :x :P :-* =(( :-O X( :7 B-) :-S #:-S 7:) :(( :)) :| /:) =)) O:-) :-B =; :-c :)] ~X( :-h :-t 8-7 I-) 8-| L-) :-a :-$ [-( :O) 8- 2:-P (:| =P~ #-o =D7 :-SS @-) :^o :-w 7:P 2):) X_X :!! \m/ :-q :-bd ^#(^ :ar!

No comments: