Pages

Tuesday, May 29, 2012

STELLA AGUSTINO AIBUKA KIDEDEA KWA KUNYAKUA TAJI LA REDDS MISS ILEMELA 2012




Mshindi wa taji la miss Ilemela 2012 Stella Agustino (katikati) akiwa na mshindi wa pili Hapiness (kushoto) na mshindi wa tatu




Warembo walioingia kumi bora miss Ilemela 2012.




Sharowbarow President Bob junior akimalizaaaaa...




Flash na sehemu ya Gold Crest Hotel.




Mshiriki namba 3.




Mshiriki namba 9.




Mshiriki namba 4.




Pichani huyu si mshiriki miss Ilemela 2012 bali ni sehemu ya Onyesho la mavazi ya Harusi toka Munira Classic.




Mc wa tukio Mr. G. Sengo(gsengo blog) toka Clouds Fm Mwanza.




Meza ya majaji chini ikitafakari muonekano wa kwanza kupitia open show ya Miss Ilemela 2012.




Ze pipooo.




Wadadaz wakipata flash kwa blog....




Hapa Chief Judge Muhksin Mambo toka Star Tv (nyuma ya mshiriki no 7) alipokuwa akitaja kumi bora.




Ze flawaz..




Kipaji toka moyoni mshiriki wa kinyang'anyiro miss Ilemela Stela akionyesha kipaji cha kucheza wimbo wa Fally Ipupa - Bakanja.




Mshiriki wa kinyang'anyiro cha Miss Ilemela  Hapiness akichora ndani ya kuonyesha vipaji.




Kipaji toka moyoni mshiriki Zaifath kipaji cha kuimba.




Afisa
Promosheni wa Nyanza Bottling Co. LTD watengenezaji wa soda jamii ya
Coca cola Mr.Rutta, akimkabidhi mshindi nafsi ya 3 cheki ya shilingi
laki mbili.




Afisa
Promosheni wa Nyanza Bottling Co. LTD watengenezaji wa soda jamii ya
Coca cola Mr.Rutta, akimkabidhi mshindi wa nafsi ya pili Hapiness, cheki
ya shilingi laki tatu.





Afisa
Promosheni wa Nyanza Bottling Co. LTD watengenezaji wa soda jamii ya
Coca cola Mr.Rutta, akimkabidhi Miss Ilemela 2012 Stella Agustino, cheki
ya shilingi laki tano.
:) :( ;) :D ;;-) :-/ :x :P :-* =(( :-O X( :7 B-) :-S #:-S 7:) :(( :)) :| /:) =)) O:-) :-B =; :-c :)] ~X( :-h :-t 8-7 I-) 8-| L-) :-a :-$ [-( :O) 8- 2:-P (:| =P~ #-o =D7 :-SS @-) :^o :-w 7:P 2):) X_X :!! \m/ :-q :-bd ^#(^ :ar!

No comments: