Pages

Thursday, December 1, 2011

MR EBBO AAGA DUNIA.

Habari zilizotufikia hivi punde ni kwamba msanii aliyejizolea mashabiki wengi hapa nchini kwa staili ya muziki wake aliokuwa akifanya, Mr Ebbo ameaga dunia leo. Mr Ebbo alikuwa anasumbuliwa na maradhi kwa muda mrefu na amefariki akiwa nyumbani jijini Arusha. Mtandao huu unatoa pole kwa ndugu, jamaa, marafiki na wapenzi wote wa muziki hapa nchini. Mungu ailaze roho ya marehemu mahali pema peponi. AMEN
:) :( ;) :D ;;-) :-/ :x :P :-* =(( :-O X( :7 B-) :-S #:-S 7:) :(( :)) :| /:) =)) O:-) :-B =; :-c :)] ~X( :-h :-t 8-7 I-) 8-| L-) :-a :-$ [-( :O) 8- 2:-P (:| =P~ #-o =D7 :-SS @-) :^o :-w 7:P 2):) X_X :!! \m/ :-q :-bd ^#(^ :ar!

2 comments: